jamaa flani alienda kwenye kibanda cha mama ntilie akaagizia chipsi na mayai. mama ntilie wakati anamuekea akamuuliza"vipi nizichanganye???" jamaa kwa kujifanya anajua kiingereza akajibu"YEAH COMFUSE THEM.."
Jamaa flan alienda kwenye kibanda cha mama ntilie akaagiza chips na mayai.Mama ntilie wakati anamuekea akamuuliza "vipi nizichanganye???"jamaa kwa kujifanya anajua kiingerza akajibu"YEAH COMFUSE THEM.."
Mmasai aliingia hotelin akakaa meza moja na mzungu, mzungu akaagizia fanta na mmasai akaagizia uji,mzungu akanywa akamaliza akainua chupa juu na kusema " FANTASTIC " Mmasai alijua mzungu anaisifia fanta na yeye akainua bakuli la uji juu na kusema " UJISTIC ."
jamaa flani alienda kwenye kibanda cha mama ntilie akaagizia chipsi na mayai.
ReplyDeletemama ntilie wakati anamuekea akamuuliza"vipi nizichanganye???"
jamaa kwa kujifanya anajua kiingereza akajibu"YEAH COMFUSE THEM.."
Jamaa flan alienda kwenye kibanda cha mama ntilie akaagiza chips na mayai.Mama ntilie wakati anamuekea akamuuliza "vipi nizichanganye???"jamaa kwa kujifanya anajua kiingerza akajibu"YEAH COMFUSE THEM.."
DeleteMbona zakawaida sna bs
DeleteMmasai aliingia hotelin akakaa meza moja na mzungu,
ReplyDeletemzungu akaagizia fanta na mmasai akaagizia uji,mzungu akanywa akamaliza akainua chupa juu na kusema " FANTASTIC "
Mmasai alijua mzungu anaisifia fanta na yeye akainua bakuli la uji juu na kusema " UJISTIC ."
😂😂
DeleteTeja baada ya swaumu kuwa kali saa 6 mchana akaamua kupiga simu redion.
ReplyDeleteMtangazaji: unachagua wimbo gani?
Teja: Adhana ili nifuturu.
I Can ask a question? How to extr rar file to iso???
ReplyDeleteUse zarchiver
DeleteEnter your comment...HAHAHAHAHAHAHA
ReplyDeleteNouma
ReplyDeleteHuyo masai noma
ReplyDeletenomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
DeleteAtareeeeeee
Deletenoma Sana!!!!!!!!!
ReplyDeletePwaaaa
ReplyDeletehuyo masai du
ReplyDeleteHahaha
ReplyDeleteHaha
ReplyDeleteHajachekesha bdo
ReplyDeleteMmasai nomaaaaa
ReplyDeleteHahahah
ReplyDeleteNi shidaaaaa
ReplyDeleteNi njekeke
ReplyDelete😂😂😂
ReplyDelete🙌🙌🙌🙌🙌🙌
ReplyDeleteNataka kuweka window kwenye pc
ReplyDeleteWindow gani
DeleteNyengne bc😂😂
ReplyDelete😂😂
ReplyDelete